Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 5,180
- 17,649
Rais Samia ameipongeza Klabu ya Simba kwa ushindi walioupata katika mchezo wa mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) na kufuzu Nusu Fainali.
Kupitia salamu zake, Rais Samia amesema ushindi huo si tu kwamba umeleta furaha kwa mashabiki wa Simba, bali pia umechangia burudani kwa Watanzania wote.
Ameongeza kuwa mafanikio hayo ni ishara ya juhudi na nidhamu ya timu hiyo, na kuwatakia kila la heri katika hatua ya Nusu Fainali ya mashindano hayo.
Soma, Pia: FT | Simba SC 2-0 Al Masry SC | Robo Fainali CAF CC | Uwanja wa Mkapa | 09.04.2025
Kupitia salamu zake, Rais Samia amesema ushindi huo si tu kwamba umeleta furaha kwa mashabiki wa Simba, bali pia umechangia burudani kwa Watanzania wote.
Ameongeza kuwa mafanikio hayo ni ishara ya juhudi na nidhamu ya timu hiyo, na kuwatakia kila la heri katika hatua ya Nusu Fainali ya mashindano hayo.
Soma, Pia: FT | Simba SC 2-0 Al Masry SC | Robo Fainali CAF CC | Uwanja wa Mkapa | 09.04.2025