What new knowledge do you have that can marinate my brain?

What new knowledge do you have that can marinate my brain?

Yani hapo kuna watu walifanya research miaka ya 1950s na 1960s, zikatumika kwenye teknolojia za miaka ya 1990s na 2000s.

Miaka 40 mpaka 50 baadaye.
Wow that's amazing....which means Kuna researchers wanapublish vitu Leo vitakuja kutumika mwaka 2060. (I'm thinking about supercool semiconductors, or quantum computers etc.)
And then Kuna watu kama kina Einstein mpaka Leo hatuna applications za General relativity.
 
Wow that's amazing....which means Kuna researchers wanapublish vitu Leo vitakuja kutumika mwaka 2060. (I'm thinking about supercool semiconductors, or quantum computers etc.)
And then Kuna watu kama kina Einstein mpaka Leo hatuna applications za General relativity.
Application za General Relativity zipo nyingi, pamoja na mambo ya GPS hayo ambayo huyu Dr. Daniel Kleppner aliyaongezea accuracy kwa kutumia a more refined way of exacting time by atomic clocks.
 
Back
Top Bottom