lakini elewa unapoanza utakuwa uko gizani .. kawaida unapokuwa karib na mwenza kuna mambo mengi utayabaini kwa hiyo hutatambua hadi uwe na hicho kitu
Sikatai kuwa strategy unatakiwa kuwa nazo
Ila la muhimu ni kujiuliza je uko kwenye trend sahihi na je unayemwekea mikakati anakuelewa au unatwanga maji kwenye kinu