WISDOM SEEDS
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 841
- 282
Picha ya kushoto ni ya UONGO sio PETH, AUSTRALIA ni DAR-ES-SALAAM AIRPORT
DAMN PICTURES DOES NOT HOLD WATER...
Bring us human structure on issues, not gossip...
Mbona maandiko yanaonyesha kuwa wako Perth. Huu ni uongo wa mchana kweupe. Humu ndani ni vyema mkaleta habari za ikweli kiliko kujitungia mipicha kama magazeti ya udaku! Mwishowe JF itaonekana kama kijiwe samli kijiwe vha majungu, tetesi na uongo. si vyema kuipeleka JF huko.Gossip kwa maana ipi, picha ni ya kutunga au vipi?
Inaweza isiwe Perth lakini ni picha inayoonesha wakati
wa safari ya kuelekea huko Perth...
Mbona maandiko yanaonyesha kuwa wako Perth. Huu ni uongo wa mchana kweupe. Humu ndani ni vyema mkaleta habari za ikweli kiliko kujitungia mipicha kama magazeti ya udaku! Mwishowe JF itaonekana kama kijiwe samli kijiwe vha majungu, tetesi na uongo. si vyema kuipeleka JF huko.
mkuu sikuwa na maana ya kupinga post yako. mimi nilikuwa naongelea picha na post ya kwanza ni kwa bahati mbaya tu nika reply kwenye post yako na wala simsemei salva. nimesemea picha ambayo ni ya uongo kwa kuwa hao watu wote hawakuwa Perth kwa wakati mmoja lakini picha na maandiko yanayoambatana nayo yanataka tuamini kuwa walikuwa perth pamoja.Vipi ndugu yangu, mbona unakurupuka kutaka malumbano na mimi,
kwani mimi ndiye niliyeposti hii picha au nilikuwepo Perth? Acha kuingilia
kazi ya Salva, au na wewe siku hizi ni msemaji wa Rais? Mimi nachangia
maoni yangu kama unavyochangia wewe, na usitake nikubali kile
unachoamini wewe...
Pole sana ndugu yangu, huyo jamaa kwa kujipendekeza kwa watawala ndio mwenyewe, yeye katika magamba hampendi Hawa Ghasia tu eti hajui kiingeleza, lakini ukiwakosoa magamba wengine anakuwa shubiri ile mbaya.Vipi ndugu yangu, mbona unakurupuka kutaka malumbano na mimi,
kwani mimi ndiye niliyeposti hii picha au nilikuwepo Perth? Acha kuingilia
kazi ya Salva, au na wewe siku hizi ni msemaji wa Rais? Mimi nachangia
maoni yangu kama unavyochangia wewe, na usitake nikubali kile
unachoamini wewe...
kama huwezi kutafsiri picha si uwaachie wajuzi? wewe huwezi kuona ukweli kwa kuwa tumbo lako linawategemea hao mafisadimkuu sikuwa na maana ya kupinga post yako. mimi nilikuwa naongelea picha na post ya kwanza ni kwa bahati mbaya tu nika reply kwenye post yako na wala simsemei salva. nimesemea picha ambayo ni ya uongo kwa kuwa hao watu wote hawakuwa Perth kwa wakati mmoja lakini picha na maandiko yanayoambatana nayo yanataka tuamini kuwa walikuwa perth pamoja.
Politicians are like diapers. They both need changing regularly and for the same reason.