BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,919
Kaa na fanya mambo ambayo unaona yanakupa furaha ila pole... Wengine huku tulishaona kila kitu kichungu ila tukajipa moyo... Pia kubali kuwa maisha yako yana dhamani zaidi na pale unapofanya jambo kwa mtu mwingine jiaminishe kuwa utalipa cku moja mbele za mungu yaani mbinguni. Ukifanya hivyo utabadilika rafiki yangu
MmmmHukojoleshwi vizuri wewe.
Probably true...upo very sensitive, very creative and romantic,....ila unaona hamna anetaka kujua hili,you probly a loner ujui tu lakin inaezekana una potential sana ndani yako ila ujawai zitumia may be ujapata msukumo au sehem ya kuzitumia ila jipe moyo kila kitu kitakua sawa,..pm me
Sawa ntafanya hivyo...Ni phase tu dear! Ata mie hua inanipataga!!! Ni kama depression fulani ivi. Unajihisi mtupu ndani na huelewi unachofeel! Ukiiendekeza itakutesa... We changamka na jumuika na marafiki ata kama you don't feel like doing so.
not me, am so weak mpaka najiogopa,Are u that guy...
Mmm..not me, am so weak mpaka najiogopa,
Yaah!!! True ...bila shaka But I Know how to kill a lionessesMmm..
DuhYou are horny.
Cc; stunter una utan na huyu???
Sitaki kuanzishiwa thread mie...simooo
Unataka umtoe??? Af utampeleka wapi???utakuwa na jini kisilani...nitafute fasta
mwanzishie uzi huyu behaviourist bhana hujaanzisha uzi siku nyingi
Hutaki ama mbona unatoa macho
True mkuu!!!.......Hata mimi nahisi nikikutana nae nikimwona tu naweza nikamwaga hapo hapoYou are horny.
True mkuu!!!.......Hata mimi nahisi nikikutana nae nikimwona tu naweza nikamwaga hapo hapobut wonder enough eti hataki/hapendi wanaume!!......Acha hizo,tupende buana kwani wewe una potentila kubwa sana ya utamu ndani yako ila hujui!
unakaribia kuingia mwezini?umehave sex lini mara ya mwisho?Hi JF.....idk what is wrong with me jaman....yani i get angry with no reason....hata sijui kwanini....and i just hate everyone who is around me....i hate every person i see....yani nna hasira za ovyo ovyo tu....
Naona kila mtu ni fake...idk...sielewi....ni kama i wanna be alone...yet ni kama i wanna be around people and have some fun....
Kama vile ni exit all the whatsapp groups....ni kama vile i wanna block everyone...
Sijui nifanye nini...