MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
....lol,...haya sasa....!
mwj1 miaka saba iliyopita nilikuwa kwenye relationship na mwanamke anayejiskia hivyo...
kila jitihada niliyofanya kumhakikishia yeye ndio yeye, hata kufikia hatua ya mimi kugombana na
kutengana na familia yangu kumthaminisha yeye, bado tu hakujiamini...na akaendelea ku cheat zaidi
ya mara saba nizijuazo mimi mbu!...
mwj1....i did everything bana, everything unayoweza fikiria,
hapana bana...ni ujinga wake tu uliotukuka....lakini, amenisaidia sana kuujua ukweli kwamba
mwanamke asiyejiamini hafai asilani kuwa mke na wala simshauri yeyote kumuoa mwanamke wa aina hiyo!
....lol, (ashakum si matusi)...ile midomo si ilitokana na swali bana? kuna mtu alisema ati tofauti ni nini kati ya nanihii ya mkewe na hiyo ya nje...sasa nami kumjibu kidiplomasia, nikamuonyesha hata midomo (hii ya kulia chakula) haifanani, sembuse nanihii ya mkewe na ya kimada?
Pole Mbu nakubaliana na wewe kuwa kutojiamini ni sababu pekee ya kucheat, huyo atakuwa alikuwa na nyinginezo, ambazo kama ninavyoamini siko nyingi tu! kuna wengine wanafanya kwa tamaa, lakini pia kuna ile ya kuwa serial cheaters.....wanacheat for the thrill of it bana. They love their husbands, would never entertain mawazo ya kumuacha/achana na mumewe but they want something extra Mbu. Yaani they tend to miss ile hali/feeling inayoambatana na kujua/hisi mume wake can't keep his hands off her. Anakuwa anataka kuhisi anatakiwa/anahitajiwa, feel sexy, ajione kuwa anamturn on her husband kila wanapokuwa pamoja but ile feeling inapogeuka mazoea, inapokwisha.......... atatoka looking for it outside the marriage.
Well, as nilisema mwanzo, hakuna kitu kinaweza justify cheating. It is bad kwa macho ya Mungu, kwa asili zetu na own conscience pia, but you wanted to know why people cheat so I told you about the cheating experience I know of. I don't support her, I actually condemn her because she should have broken up BEFORE she starts a new relation but she did this and there is nothing I could do about it except tell her it is not right...Thanx 4 being open,but that is not a justification!
....lol...women are from venus....kwakweli hapo 'am lost in translation!'...
mwj1 usinipe pole bana, madhali sikuathirika na ukimwi na nina akili yangu timamu (sikupata usongo wa mawazo)
wala sikufikiria kujiua...acha nami sasa nile raha, maisha yenyewe mafupi haya....kujipendelea muhimu
Shemeji liskushtue hilo ni copy and paste, Interview zote za kiingereza nilizohudhuria nilifeli.lol Shemeji kumbe nawe kiswahili cha kizungu ni mwake eh?! lol hii ni wiki ya cheaters nadhani maana JF hamtupi pumzi wajameni!! Mie nimechoka mwili na nafsi!
Mbu sweetheart..........women tuna mambo na kama wanavyosema wengi kuwa we are omplicated hawajakosea. Kwa kuwa tuko varieties inakuwa ngumu kutuelewa kama ukitusoma juu juu tu!
Haya nirudishie pole yangu!
jino kwa jino...ni kweli hii pia ni among the reasons zinazotolewa lakini nawezasema ni sababu za kitoto kwa sababu hapo kwenye Blue ina maana tangu anakutana na kuwa naye alikuwa hajui kuwa hajitumi? Na pili hapo hapo (jumlisha na hiyo red) kwa nini asizungumze na mwenzi wake ili wa'rekebishe' palipo'pelea'?
Hivyo ulivyomalizia sentensi yako ni kama vile huyo mdada kapikiwa chakula kibovu, anapita kwanza kwa jirani anakula kizuri kisha anakuja kujaza tumbo tena kwa hicho kibovu. Kwa nini asiseme kuwa chakula si kizuri ni kibovu na siku nyingine ajaribu kuingia jikoni na kuonyesha jinsi chakula kizuri kinavyotakiwa kupikwa??
.........Mimi nafikiri some people wanapenda tu varieties!
Shemeji liskushtue hilo ni copy and paste, Interview zote za kiingereza nilizohudhuria nilifeli.
Kuhusu cheating, hali halisi inatisha. Walahi waaminifu tumebaki wachache sana katika hii dunia, hatufiki hata 5%.
Briefly, explain! (5 Marks)
Hah umekubali kukosa 5 Marks eh!...khaa?....unataka nijitie kitanzi?
never....
...mie nimo kwenye 5% ya kina klorokwini.
Hah umekubali kukosa 5 Marks eh!
Am glad na nakupongeza kwa kuwemo kwenye hiyo 5% ya shemeji yangu!
............................ Naomba nitume maombi ya kuolewa hahahahahah.................Sitakucheat I promise!
Hah umekubali kukosa 5 Marks eh!
Am glad na nakupongeza kwa kuwemo kwenye hiyo 5% ya shemeji yangu!
............................ Naomba nitume maombi ya kuolewa hahahahahah.................Sitakucheat I promise!
....duuuhhh, mwj1 wewe tena....
vigezo vyote ishirini vya mtambuzi https://www.jamiiforums.com/mahusia...a-kuolewa-basi-fanya-hivi%85%85%85%85%85.html umekamilika navyo....nipewe nini tena zaidi ya kukujibu YES!!!....
Hapa mnatafuta upenyo wa kumcheat Lawyer sasa.
....duuuhhh, mwj1 wewe tena....
vigezo vyote ishirini vya mtambuzi https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/183745-kama-unataka-kuolewa-basi-fanya-hivi%85%85%85%85%85.html umekamilika navyo....nipewe nini tena zaidi ya kukujibu YES!!!....
Hapa mnatafuta upenyo wa kumcheat Lawyer sasa.
...pass!,....ngoja kwanza nimsome mwj1 atavyojibu...
Lol ngoja nikaicheck hiyo sred kama kuna mapungufu nijazie jino risasi fasta! Lol
Hahahaha unakubali kucheatiwa? Na hapa purpose takuwa ni nini?
Unanirudishia mpira eh?! haya bana
...aaaah, mwj1 we acha tu...hizi sredi zilivyoongozana wiki hii na mimi na mwenza wangu tuna long distance relationship,...
...aaaah, mwj1 we acha tu...hizi sredi zilivyoongozana wiki hii na mimi na mwenza wangu tuna long distance relationship,...