Mtu mbalimbali
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 403
- 609
Kwetu smart thinkers
Oh! Algebra again.View attachment 2990889
Kwetu smart thinkers
Oh! Algebra again.View attachment 2990889
Kwetu smart thinkers
Urefu wa paka = 170cm÷2
Mkuu; Kwa nini (kigezo) umegawanya urefu wa Paka kwa mbili? na Urefu wa Kobe vilevile kwa mbili?Urefu wa paka = 170cm÷2
= 85CM
Urefu wa kobe = 130cm÷2
= 65cm
So urefu wa meza = urefu wa paka + urefu wa kobe
= 85cm + 65cm
= 150cm
Niliangalia nikaona urefu wa kulichopo juu ya meza ni sawa na nafasi iliyopo chini ya meza nikagawa ili kutoa kilichopo juu ya meza ili kupata urefu wa mezaMkuu; Kwa nini (kigezo) umegawanya urefu wa Paka kwa mbili? na Urefu wa Kobe vilevile kwa mbili?
Kwa kuangalia tu (Umetumia macho) inamaana umedhania na hakuna uhakika auNiliangalia nikaona urefu wa kulichopo juu ya meza ni sawa na nafasi iliyopo chini ya meza nikagawa ili kutoa kilichopo juu ya meza ili kupata urefu wa meza
Kiongozi; Hesabu ni Logic. Sasa kufanya kwa kichwa ndo inakuwaje? Yan hoja hapa ni kwamba umetumia njia gani (Maths rule/formulae).Hii nimefanya kwa kichwa nimepata 150, (mchoro 1 + mchoro 2)/2
Ndo logic ya kuangalia mpangilio wa picha, nusu ya urefu wa kwanza + nusu ya urefu wa pili ndo urefu wa tableKiongozi; Hesabu ni Logic. Sasa kufanya kwa kichwa ndo inakuwaje? Yan hoja hapa ni kwamba umetumia njia gani (Maths rule/formulae).
Unazunguuuuka, eqn eqn, no need for thatOh! Algebra again.
Quick soln:
1, Get the narrative arithmetics (a)Table + Cat - Tortoise = 170 cm
(b) Table - Cat + Tortoise = 130 cm
2, If you add eqn. (a) + (b) = 2 Tables = 300cm
3. Solve for 2 Tables = 300cm; i.e. one table = 150 cm.
Therefore the Table is 150 cm tall.
Zamani tulikuaga tunaandika QED ikimaanisha quite easily done.
So, what is needed then? Mkuu, Hesabu ndo utaratibu wake zinadai uoneshe njia umepataje jibu lako. Sio unapiga chabo halafu unatucheka eti tunazunguuuka.Unazunguuuuka, eqn eqn, no need for that
Njia ya kwenda wapi? Apo km huna image analysis ability utulieSo, what is needed then? Mkuu, Hesabu ndo utaratibu wake zinadai uoneshe njia umepataje jibu lako. Sio unapiga chabo halafu unatucheka eti tunazunguuuka.
Nimetulia mkuu.Njia ya kwenda wapi? Apo km huna image analysis ability utulie
x+y =(130-x)+(170-y)Kwa kuangalia tu (Umetumia macho) inamaana umedhania na hakuna uhakika au