Mkuu iPhone 4 ni kiboko!! Hii kitu ni next level....Samsung walichofanya ni kucopy na kupaste..!
Trium ni kiboko yao!
Nokia ya tochi
Samsung wana cm nzuri sana,startin wth their super AMOLED display tech,their dual core processors na most of them zinarun android ambayo inakuja kwa kasi sana,lakin kama unataka better hardware quality,run for Nokia,kama wewe unapenda games,apps za kumwaga zipo kwnye iphones,htc,lg wanazo simu zenye 3D displays na pia kuna rumors kuwa htc wanarealese 16MP Camera phone,zipo za kila aina inategemea na budget yako na matumizi yko,kama ni messaging,office kuna e series za nokia na b.b.
zote ulizotaja hapo ni nzuri ila ubora atauona mtumiaji kutokana na matumizi yake na hobby yake ipo kwenye feature ipi
mkuu iphone 4 ni kiboko!! Hii kitu ni next level....samsung walichofanya ni kucopy na kupaste..!
zote ulizotaja hapo ni nzuri ila ubora atauona mtumiaji kutokana na matumizi yake na hobby yake ipo kwenye feature ipi