My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,930
- 13,335
Yes he does, he's actually paying the priceThat's fetched from the main post on discussion.
Let me reiterate that am not his fan either which I don't think it doesn't make headlines.
I do accept his genuine mistakes as part of all human beings.
The kind of hatred in discussion is astonishing.
Does he really deserve it?
Which elaboration do you need so far?Kindly elaborate on this "DIVIDIND us" narrative.!!
Wewe mpuuzi Ben Saanane alikamatwa na watu wa TISS, wakamtesa na kumuua kikatili, usilete upumbavu wako halisi Kwenye damu ya mtu iliyomwagwa bila hatia,bila hatia .Kuhusu Ben una miaka mingapi humu JF ebu kafukue Mashimo ya mijadala humu miaka ya nyuma mtafute huyo Ben Kajifunze jambo kuhusu hoja zake kabla amja jichotea LAANA ambazo mmejiundia wenyewe.
Do you have evidence of this allegation, let alone water tight one?He has sponsored extrajudicial killings of people he fears they do not support him, and that is unacceptable, quite abhorable, and unforgivable...TUKO NAYE JINO KWA JINO, KISIGINO KWA KISIGINO!
Yes he does, he's actually paying the price
How explain because u are not clear.One of the reasons some of us hate him the most is that he divides us (Tanzanians) instead of uniting us. Let him build whatever he wants to build for this nation or develop this nation economically to levels of Dubai or even the US, but with his behaviour of division, I will never ever be the fan.
"Not people inclusive"To the 'woke' vocal [online] minority who oppose everything Magufuli, what is it exactly that you don’t like about him or about what he is doing?
Let one kill your kid, and see how are going to correct it.If in the process of being tough you make a few honest mistakes here and there, so be it. It's not the end of the world. They can be corrected.
IHuyu jamaa sijui CCM walimpa nini kajitoa fahamu kabisa
Duh, kumbe mweupe hivi?!Wewe mpuuzi Ben Saanane alikamatwa na watu wa TISS, wakamtesa na kumuua kikatili, usilete upumbavu wako halisi Kwenye damu ya mtu iliyomwagwa bila hatia,bila hatia .
Mnakera, mnanuka hadi kutapisha, watu wamemlilia Mungu naye kajibu hadharani huku Dunia ikiona, hakuna uchawi wa kumgusa mkuu wa nchi, huyo alikuwa Mungu mwenyewe.
Mtatengeneza maagizo mpaka mtachoka, tokeni mliambie taifa kuwa Rais yupo Germany anaumwa, kutengeneza Recorded events na kurusha Kwenye TV ili kuwa cheat mambumbumbu wa Tanzania haitawapeleka popote.
Kama yupo na mzima haumwi, na uvumi mbaya umeenea pote juu yake si ajitokeze hadharani na kukanusha kwa kinywa chake?
Wapuuzi sana nyie.
very much so an assassin he will reap what he sowKwa hiyo Magu kahusika na kupotea kwa Ben Saanane?
We ndo mjinga thats is nature...Wakibadili njia nao Mamba si watabadili njia?Huwezi kubadili njia kwenda against the nature.Ni ule tu usemi kwamba aliyewahi studio ndio mwenye wimbo, lakini ukiwa unawaelewa vyema wanyama hawa basi utagundua hasa hasa wanafanana na nani.
Kwa miaka na miaka wanyama hawa wanavuka mto Mara na kuliwa na mamba, lakini hawabadili njia wala hawana wazo tofauti, wao ni ILE ILE TU...umewajua sasa?
he is dead spiritually emotionally and alive physically.I have a sneaky suspicion you were one of those peddling the lie that the President is dead.
'Crap'One of the reasons some of us hate him the most is that he divides us (Tanzanians) instead of uniting us. Let him build whatever he wants to build for this nation or develop this nation economically to levels of Dubai or even the US, but with his behaviour of division, I will never ever be the fan.