What is it about him that they don't like?

What is it about him that they don't like?

That's fetched from the main post on discussion.

Let me reiterate that am not his fan either which I don't think it doesn't make headlines.

I do accept his genuine mistakes as part of all human beings.

The kind of hatred in discussion is astonishing.

Does he really deserve it?
Yes he does, he's actually paying the price
 
Mnaleta siasa kwenye uhalisia?anyway,hua mnasema ni kikundi Cha watu wachache tu hivyo msihofu kiasi Cha kuleta mjadala hapa,mkileta mada Kama hizi Basi ni sahihi nafsi zenu zinawashuhudia ukweli.
 
Kuhusu Ben una miaka mingapi humu JF ebu kafukue Mashimo ya mijadala humu miaka ya nyuma mtafute huyo Ben Kajifunze jambo kuhusu hoja zake kabla amja jichotea LAANA ambazo mmejiundia wenyewe.
Wewe mpuuzi Ben Saanane alikamatwa na watu wa TISS, wakamtesa na kumuua kikatili, usilete upumbavu wako halisi Kwenye damu ya mtu iliyomwagwa bila hatia,bila hatia .
Mnakera, mnanuka hadi kutapisha, watu wamemlilia Mungu naye kajibu hadharani huku Dunia ikiona, hakuna uchawi wa kumgusa mkuu wa nchi, huyo alikuwa Mungu mwenyewe.
Mtatengeneza maagizo mpaka mtachoka, tokeni mliambie taifa kuwa Rais yupo Germany anaumwa, kutengeneza Recorded events na kurusha Kwenye TV ili kuwa cheat mambumbumbu wa Tanzania haitawapeleka popote.
Kama yupo na mzima haumwi, na uvumi mbaya umeenea pote juu yake si ajitokeze hadharani na kukanusha kwa kinywa chake?
Wapuuzi sana nyie.
 
He has sponsored extrajudicial killings of people he fears they do not support him, and that is unacceptable, quite abhorable, and unforgivable...TUKO NAYE JINO KWA JINO, KISIGINO KWA KISIGINO!
Do you have evidence of this allegation, let alone water tight one?
 
Yes he does, he's actually paying the price

Man! I do believe you are aware that the hatred harms you than anyone else!

Am not surprised though with the trend!
We make choices in life, what I see is simply you opted to hate him which I have no problem.

As for me, not only him but hating someone is too much, I can't afford.

I got no issues with criticising him as I do at some points when there is a need.
And there must be clear understanding when we acknowledge or recognise the positive action and steps with being his fan as you name it praise team.
 
One of the reasons some of us hate him the most is that he divides us (Tanzanians) instead of uniting us. Let him build whatever he wants to build for this nation or develop this nation economically to levels of Dubai or even the US, but with his behaviour of division, I will never ever be the fan.
How explain because u are not clear.
 
If this guy wants to change things why is he not empowering institutions to be able to make sensible decisions but rather he makes it all on his own, all institutions are weak the sad truth is he cant change anything by not empowering institutions so the day he steps out of the system things are going to go back to square one..therefore its not about having an idea of changing things but rather why do you want to grab everything and be seen like a demigod?
 
Silent Majority in Tanzania is exactly like in USA, it is a majority made by people who know what is good when they see it, they rarely act like soy boys.

Silent majority do not waste time discussing shortfalls of JPM, they value his sincerity and devotion on issues of development.
 
To the 'woke' vocal [online] minority who oppose everything Magufuli, what is it exactly that you don’t like about him or about what he is doing?
"Not people inclusive"
If in the process of being tough you make a few honest mistakes here and there, so be it. It's not the end of the world. They can be corrected.
Let one kill your kid, and see how are going to correct it.
 
Wewe mpuuzi Ben Saanane alikamatwa na watu wa TISS, wakamtesa na kumuua kikatili, usilete upumbavu wako halisi Kwenye damu ya mtu iliyomwagwa bila hatia,bila hatia .
Mnakera, mnanuka hadi kutapisha, watu wamemlilia Mungu naye kajibu hadharani huku Dunia ikiona, hakuna uchawi wa kumgusa mkuu wa nchi, huyo alikuwa Mungu mwenyewe.
Mtatengeneza maagizo mpaka mtachoka, tokeni mliambie taifa kuwa Rais yupo Germany anaumwa, kutengeneza Recorded events na kurusha Kwenye TV ili kuwa cheat mambumbumbu wa Tanzania haitawapeleka popote.
Kama yupo na mzima haumwi, na uvumi mbaya umeenea pote juu yake si ajitokeze hadharani na kukanusha kwa kinywa chake?
Wapuuzi sana nyie.
Duh, kumbe mweupe hivi?!
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Ni ule tu usemi kwamba aliyewahi studio ndio mwenye wimbo, lakini ukiwa unawaelewa vyema wanyama hawa basi utagundua hasa hasa wanafanana na nani.

Kwa miaka na miaka wanyama hawa wanavuka mto Mara na kuliwa na mamba, lakini hawabadili njia wala hawana wazo tofauti, wao ni ILE ILE TU...umewajua sasa?
We ndo mjinga thats is nature...Wakibadili njia nao Mamba si watabadili njia?Huwezi kubadili njia kwenda against the nature.
 
One of the reasons some of us hate him the most is that he divides us (Tanzanians) instead of uniting us. Let him build whatever he wants to build for this nation or develop this nation economically to levels of Dubai or even the US, but with his behaviour of division, I will never ever be the fan.
'Crap'
 
Screenshot_20191025-071927-picsay.jpeg
 
Back
Top Bottom