Wewe mpuuzi Ben Saanane alikamatwa na watu wa TISS, wakamtesa na kumuua kikatili, usilete upumbavu wako halisi Kwenye damu ya mtu iliyomwagwa bila hatia,bila hatia .
Mnakera, mnanuka hadi kutapisha, watu wamemlilia Mungu naye kajibu hadharani huku Dunia ikiona, hakuna uchawi wa kumgusa mkuu wa nchi, huyo alikuwa Mungu mwenyewe.
Mtatengeneza maagizo mpaka mtachoka, tokeni mliambie taifa kuwa Rais yupo Germany anaumwa, kutengeneza Recorded events na kurusha Kwenye TV ili kuwa cheat mambumbumbu wa Tanzania haitawapeleka popote.
Kama yupo na mzima haumwi, na uvumi mbaya umeenea pote juu yake si ajitokeze hadharani na kukanusha kwa kinywa chake?
Wapuuzi sana nyie.