Hawa watu ni akina nani? wako wapi hapa Tanzania
Wanafanyaje kazi zao hapa nchini?
Walianza kazi zao lini?
Ni kina nani wana mamlaka juu ya shughuli wanazozifanya?
Wananchi tunanufaika vipi na uwepo wao?
mwenye kuwajua fika hawa watu please atumwagie hapa JF
Wanafanyaje kazi zao hapa nchini?
Walianza kazi zao lini?
Ni kina nani wana mamlaka juu ya shughuli wanazozifanya?
Wananchi tunanufaika vipi na uwepo wao?
mwenye kuwajua fika hawa watu please atumwagie hapa JF