KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,311
Sisi wanaume ndo tungekuwa tunapata mimba (ceteris peribus)?
Je wanawake wangeendelea kusubiri sisi tuwatongoze kwanza hata kama wamefall inlove na wangependa kuzaa na sis?
Sisi wanaume na tabia zetu za kutoka nje zingeendelea kama ilivyo sasa?
Je wanawake wangeendelea kusubiri sisi tuwatongoze kwanza hata kama wamefall inlove na wangependa kuzaa na sis?
Sisi wanaume na tabia zetu za kutoka nje zingeendelea kama ilivyo sasa?