Senetor...mimi hapo ninabisha kidogo. Sio wote matozi (mfano mimi sio tozi). Ila wengi matozi, halafu waoga tu.....Nilipata picha ile siku ya kuchukua admittion letters pale udsm walituzingua kwenye picha, ila cha ajabu watu walitulia tu, wanaogopa kudai haki yao.