stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 18,917
- 14,695
Kwa wale ambao mlifuatilia research nzima ya september 11, tutakubaliana lile tukio lilifanyika na serikali ya marekani wenyewe, zipo research karibia 172 mpaka sasa zilizofanyika kuelezea tukio la sep 11 na 70% walisema tukio lilifanyika na serikali yenyewe, kwa lugha nyepesi (INSIDE JOB) kwa wale ambao mnafuatilia main stream media huenda ukawa unajua kuhusu osama peke yake lakini zipo tafiti 172 mpaka sasa zilizofanyika kuelezea lile tukio na conclusion ilikua serikali walihusika wenyewe, tuje kwetu
Tutakubaliana mpaka sasa hakuna sababu ya msingi yoyote ya kuelezea kwann yale maadamano yalifanyika, kila mtu alkua na lake wengine wakaishia kuchoma biashara za watu, miundo mbinu(WAPUMBAVU WA MWISHO) lakini ushawahi kujiuliza vp kama mange yupo pale kwa agenda muhimu?
Tutakubaliana mpaka sasa hakuna sababu ya msingi yoyote ya kuelezea kwann yale maadamano yalifanyika, kila mtu alkua na lake wengine wakaishia kuchoma biashara za watu, miundo mbinu(WAPUMBAVU WA MWISHO) lakini ushawahi kujiuliza vp kama mange yupo pale kwa agenda muhimu?