stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 19,480
- 15,333
- Thread starter
- #21
kuna tafauti kati ya consipiracy na research, kwa sisi tunaofuatilia ile issue mpaka sasa tunajua waliotoa consipiracy na research, mfano engineer wengi wamekubali hakuna jengo linaweza kuanguka kutoka juu mpaka chini, hizo ni research kama umezoea consipiracy sasa usizilete ukuBoss kama hiki ndicho ulichofikiri bila external influence yoyote,basi jitambue rasmi una uwezo mdogo sana wa kufikiri...yaan unafananisha tukio la Sept 11 na tukio la maandamano ya 29th...are you serious??Hivi hata hizo research zinazochambua 9/11 consipiracy theories sijui hata kama umezisoma aisee?...
yale hayakua maandamano ulikua wizi, hivo basi ukisema wananchi waliandamana huo ni uongo so ile influence haikua ya kawaida,