What if kusamehe sio lazima

What if kusamehe sio lazima

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
12,664
Reaction score
25,022
Kuna dhana inayo fikirisha sana!!!

Kuna hii dhana eti mtu akikufanyia ubaya inabidi umsamehe ili uwe huru!

Je, is this right?

Au ni mtego tu walotumia wanafalsafa kustaarabisha watu?

Maana kuna namna pia msamehewa hufanya makusudi akiwa na lengo la kusamehewa in advance.

Hebu tuangalie katika muktadha wa nature!! Karma haifanyi kazi kama ulivyo hadithiwa ila inafanya kazi kwa kufuata miiko ya energy... Ya kuwa with every action there's an equal and opposite reaction.

Nature haiangalii maadili, kwa nini sisi binadamu unataka kuwa wenye huruma sana?

Binafsi naona ni sawa kusamehe maana, sometimes inabidi umsamehe mtu ili uone kwa nini alifanya alicho fanya.

Ila Kuna incidents mtu anafanya mambo mpaka msamaha inakuwa changamoto.

Je, kusamehe no social construct ama ni vile tu binadamu huona kuna some sort of purpose in it.?
 
Napiga kambi hapa!!!
Kabisa maana funzo la msamaha wengi tunaliona kama la kawaida sana.

Ukute labda hata hatusamehi bali unaelewa ya kuwa ihatuwezi kubadili chochote.
 
Kusamehe haimaanishi huyo mtu/ kitu kiwe karibu kama ilivyokuwa awali bali kusamehe kumelenga zaidi kutokuwa na kinyongo/ kisasi juu ya aliyekukosea, lengo kuu la msamaha ni amani na si vinginevyo
Mwisho wa siku kusamehe ni uamuzi wa mtu binafsi ila pia ina depend na namna mtu anavyotafsiri kile mkosaji amemtendea
 
Kusamehe haimaanishi huyo mtu/ kitu kiwe karibu kama ilivyokuwa awali bali kusamehe kumelenga zaidi kutokuwa na kinyongo/ kisasi juu ya aliyekukosea, lengo kuu la msamaha ni amani na si vinginevyo
Sawa na Asante kwa mtazamo huu..

Ila Kuna mtu mwingine atachukua hii kama justification ya kuendelea kufanya anacho kifanya pia
 
Kusamehe ni weakness
Kisasi ni haki
What if those who take in the punches without fighting back are the strongest.

Nilisikia mahala hii... Hasa kwa wale jamaa wa martial arts.
 
Sawa na Asante kwa mtazamo huu..

Ila Kuna mtu mwingine atachukua hii kama justification ya kuendelea kufanya anacho kifanya pia
Ndo hapo tunarudisha upanga kwa mtendewa
Umetupa Bomu kwenye nyumba yangu, atachagua asemehe ama alipize na kama hawezi kulipiza basi moja kwa moja huyo mtu lazima abaki na kinyongo means hajasamehe na hapo ndio mwanzo wa migogoro katika jamii zetu na duniani kwa ujumla
Datz y nmeconclude kusema lengo kuu la msamaha ni amani no otherwise
 
Kusamehe ni kwa watu wajasiri wanaoweza kufuta machungu moyoni mwao kwaajili yao ila kama huwezi kusamehe lipa kisasi kama ndo njia ya kuwa na amani
 
Ndo hapo tunarudisha upanga kwa mtendewa
Umetupa Bomu kwenye nyumba yangu, atachagua asemehe ama alipize na kama hawezi kulipiza basi moja kwa moja huyo mtu lazima abaki na kinyongo means hajasamehe na hapo ndio mwanzo wa migogoro katika jamii zetu na duniani kwa ujumla
Datz y nmeconclude kusema lengo kuu la msamaha ni amani no otherwise
Je huko kutafuta amani ni kusamehe kweli?.

Maana kusamehe means kuwa in the position of even giving a helping hand kwa muhusika na kumtreat as if nothing happened!
 
Maisha ni mafupii mno ukipata nafas ya kisasi we lipa tu tunakufa mda wowote ,mfano hata mungu mwenyewe tunamkosea kwa madhambi ndo aliichoma sodoma na gomora pia alishushshag arika ya mvua wakati wa noa pia ametoa ahadi ya kuwaangamiza watenda Zambi hivyo hivyo hupaswi kuwasamehe watesi wako
 
Kusamehe ni kwa watu wajasiri wanaoweza kufuta machungu moyoni mwao kwaajili yao ila kama huwezi kusamehe lipa kisasi kama ndo njia ya kuwa na amani
Sahihi kabisa...
Ila hakuna morality yoyote katika kusamehe na kutokusamehe.
 
Maisha ni mafupii mno ukipata nafas ya kisasi we lipa tu tunakufa mda wowote ,mfano hata mungu mwenyewe tunamkosea kwa madhambi ndo aliichoma sodoma na gomora pia alishushshag arika ya mvua wakati wa noa pia ametoa ahadi ya kuwaangamiza watenda Zambi hivyo hivyo hupaswi kuwasamehe watesi wako
Ya kuwa kama mbwai na iwe mbwai sio?
 
Back
Top Bottom