What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

Mfano Rita Mlaki alitamka wazi kuwa waliobomolewa ni wavamizi na wahuni. Hakuna hata thread moja iliyo jadili hilo

UKO SAWA INGAWAJE KWENYE ISSUES MTU UNAFOCUS KWENYE CORE ROLE PLAYER. Mlaki ndiye mwenye madiwani wanaojitahidi kumkwamisha mbunge. Mbunge kunyamazia hli suala ni udhaifu ambao si matarajio ya wapenzi wa CDM. Kukubali kukwamishwa, HALIMA anaonyeshwa udhaifu.
 

Kwa hiyo mtaichagua CCM iliyowabomolea kwa uonezi, kama zawadi? au ili wasiwabomolee tena?
 

Halima Mdee ni mmoja wa wajumbe wa baraza la Madiwani wa Kinondoni anazo habari muhimu za maazimio ya kikao cha madiwani kilichoamua bomoa bomoa hiyo na kwa nini????

Anawajibika kuwaeleza wapiga kura wake anachojua kuhusu bomoa bomoa hiyo ama kwa kuafiki au kutoafiki.
 

Ukiona waathirika wanakimbilia kimbilio la mwisho kwa Mdee maanake wana imani naye lakini pengine hawana imani na unaowataja hapo juu.... hii ni fursa adimu.
 

pamoja sana kamanda
 

hahahha haisaidii na hata usipopiga sisi tupo wakumpigia mnavamia viwanja vya watu mkitegemea halima aje shuveeeeeiiii
 
mimi nadhani wananchi huwa tunatazama utekelezaji na sio Protocal na utaratibu wa utekelezaji na tumezoea sana maneno na kutembelewa kuliko utekelezaji unaoonekana. Hivyo basi kama wataka kujua hatua atakayo ichukua mdee vyema kutembelea ofisini kwake au kuwa na subira. Maana hawez kuja ikiwa bado hajapata ukweri wa kusema maana yule sio wabunge tuliowazoea wa CCM ambao husema hata ambayo ni juu ya uwezo wao.
 


kwa jinsi nyota ya Halima Mdee ilivyo juu kisiasa unaona ni fahari kwa yeye kutowatembelea waathirika kwa miezi 2 sasa tangu bomoa bomoa hiyo????

Je, unadhani viongozi wote wanafanana????

Ukiaminiwa aminika ndivyo Mdee anavyotakiwa kufanya.
 
Uongozi bora unaanzia pale kiongozi anapokuwa hana taarifa za kutosha na kuwajulisha waathirika kwa kuonana nao na kutoa maelezo kwamba suala lao analifuatilia. Kwa kasi ya ajabu eneo la Madale linapimwa na kuuzwa lakini waathirika hawataambulia kitu hata kama mimi nina uwezo wa kununua baada ya kupimwa.... hao wanaopewa kipaumbele ni akina nani??? Eneo hilo lilikuwa ni makazi ya watu zaidi ya miaka 10 iliyopita kasi hii ni ya nini wakati bado wananchi wanalalamika???
 

Message sent ndugu yangu!
Hizo porojo zao zimetokana na hayo maelezo niliyoyasema hapo juu.
Slaa tuachie dada yetu,sisi wana kawe tunampenda bado.
 
Cdm wako busy kufungua matawi marekani na europe hawana mda na matatizo ya kawe.. 2015 mna decision to make wana kawe..mnataka alternative ya mdee au mtamchagua yeye for another 5yrs its for u guys to decide
 
Sasa mahusiano ya hili na kero yako mbona siyaoni?
Umetumia njia zote zikashindikana? Wewe unadhani Halima yuko juu ya sheria?
Akiingilia utakuwa wa kwanza kusema cdm hawaheshimu mamlaka!

 
Inasemekana kwamba Mbunge wa Kawe Halima Mdee yuko kimya kwasababu amekula Rushwa ya zaidi ya Tsh. Mil.100 kama kifunga mdomo kutoka kwa mmiliki wa uwanja huo ambaye ni Nyambari Nyangwine, hivyo kitendo cha kumtaka Halima Mdee atoe maelezo ya wapi alipokuwa mpaka uwanja huo umechukuliwa na kuuzwa kinyume na taratibu ni kama kumwambia ajihukumu yeye mwenyewe!:nerd:
 

Ulikula naye hiyo rushwa
 
Lazima wewe utakuwa na gamba, Halima ni jembe kwa kuhoji kwako hapa inaonyesha umetumwa. Ushindwe na ulegezwe
 
kuibana serikali iyo tuu ni kazi kubwa sana,,,tatizo la watanzania wanataka asaidiwe ye peke yake....ye soo mashine ya hela ili awajaze mifukoni......
kazi za wanasiasa(wabunge) ni kutunga SERA na kusimamia SERA....!
 
Lazima wewe utakuwa na gamba, Halima ni jembe kwa kuhoji kwako hapa inaonyesha umetumwa. Ushindwe na ulegezwe

we kariri tu,ZZK mlikua mnamuita jembe yuko wapi leo mnamuita gamba?siasa ajira chafu zinduka acha kuamini wa2 hovyo!
 
......wabunge wa dar es salaam wanafikiria kwa kutumia masaburi.......hivi kawe iko dar es salaam......bangi kitu kibaya sana hasa inapovutwa na mwanamke.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…