What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

Bado Kesi iko mahakamani lakini tumebomolewa nyumba na kunyang'anywa ardhi tulitegemea mbunge ungekuja kusaidia namna ya kutafuta haki mahakamani lakini uko kimya. Wananchi masikini wamefungua kesi lakini kabla ya hukumu tumeondolewa kwa nguvu.

kumbe na wewe mvamizi?
 
propaganda chafu za nyinyiemu watu wamezoshtukia zamaaaani.......

Kesho atakuja mafilifili.......
 
Hivi kweli mmevamia mashamba/viwanja vya watu na wenyewe na hati zipo na mawe niliyaona wakati wa taarifa ya havari kwa baadhi ya maeneo halafu mnataka mbunge aje asema ni mali yenu? CDM na wanasimamia haki, ukiona CDM mbunge hakufika jua hilo suala liko nje ya uwezo wake. Kama mna hati miliki ya maeneo nashauri jiungeni pamoja mkamwone mbunge, hana matatizo kabisa.
 
Nusu heka madale ndio unalalamika njoo Mpiji Majoe tukupe 1 heka.

Kuna sehemu inaitwa "pilikika pilika ya mtu mweusi" hapo mpiji majoe, vipi zile pilikapilika bado zinaendelea?
 

jana halima mdee alitakiwa kuwa Kata ya vijibweni kigamboni kutetea suala la mji mpya lakini akatumwa Waitara kwa niaba yake yeye alikwenda morogoro kwenye arobaini ya Ally Zona aliyekufa wakati wa maandamano ya chadema.
Huko ndiko anajua public itamuona lakini madale ni mabali sana kuliko morogoro.
 

hakuna anayemlaumu Mdee tunashangaa ukimya wake kama vile jimbo sio lake na waathirika sio wapiga kura wako... Arumeru Mashariki alichonga sana kumuuza Joshua Nasari why not Madale jimboni kwake?
 
hebu tuongee ukweli wakuu,Mh Halima Mdee yuko wapi??naombeni jibu hapo,vilevile tunaomba record ya utendaji kazi jimboni mwake,tusiwe tunabisha kila hoja inayoletwa hapa bila kuwa na ushahidi!



Kama wanachadema wanataka huduma bora kutoka serikali ya CCM ni kosa gani kwa wanaCCM kudai huduma bora kwa mbunge wa Chadema?

Huyu dada tangu kaambiwa ni kituko na Naibu Spika bungeni hajarudi kwenye ujasiri wake wa awali.
 
Kumbe nyie wajinga ndio mmevamia viwanja vyetu sio?

Ni kweli sisi ni wajinga ndio maana Halima Mdee kashirikiana na wajanja kututosa kuna taarifa Madale kwamba amevuta kitu kidogo ... ukimya wake sio wa bure.
 

wengi wanaamini sisi sio watanzania bali majambazi na wahalifu kumbe ni kauli za wajanja kwa nini wasitukamate???? sisi ni watu na heshima zetu iweje watu zaidi ya elfu moja wote tuwe wahalifu kwa nini wasitoe haki wa wachache???? wataje majina ya hao wakimbizi na wahalifu.
 
Haya maswala ya viwanja/aridhi siyo kwamba yanashughulikiwa na halmashauri ya mji/wilaya? Kama ndivyo, hao madiwani wenu wanafanya kazi gani? Hao ndo immediate representatives wenu, mbona hamuwawajibishi kwa maswala hayo ambayo yako mikononi mwao?
 

Mizunguko ya M4C ina posho hata Halima Mdee hawezi kukataa lakini kwenda hapo Madale hakuna posho.
 
Haya maswala ya viwanja/aridhi siyo kwamba yanashughulikiwa na halmashauri ya mji/wilaya? Kama ndivyo, hao madiwani wenu wanafanya kazi gani? Hao ndo immediate representatives wenu, mbona hamuwawajibishi kwa maswala hayo ambayo yako mikononi mwao?

Viongozi hawafanani ukiaminiwa aminika wananchi wamemwamini Mdee wewe unataka waende kwa diwani!!!!

Tatizo haliwezi kutatuliwa na waliolisababisha.
 
Wakati mwingine tunafikiri wapinzani ni dawa ya matizo yetu kumbe si kweli ukimya wa Halima Mdee kwenye tatizo letu la Madale hakika nimeushangaa sana.
Kosa mlofanya ubunge mmempa MDEE urais mkampa JK Iliyobomoa ni serikali yenu dhalimu ulitaka afanyeje angekuwepo siku ya tukio angeweza kupigwa risasi na hao policcm. ushauri wangu andamaneni hadi magogoni kwa huyo mliyempa urais
 
Yaani ukavamie viwanja vya watu kwa mapanga na marungu alafu utegemee Halima Mdee aje kutetea uovu wako?

Apo tunadanganyana!

Halima akisema haya ningeshangaa sana kwani nyinyi ndio mnataka umma uelewe hivyo ... wakazi walibeba mapanga na marungu kwa miaka 10???? hiyo mikono si ingekatika
 
Kosa mlofanya ubunge mmempa MDEE urais mkampa JK Iliyobomoa ni serikali yenu dhalimu ulitaka afanyeje angekuwepo siku ya tukio angeweza kupigwa risasi na hao policcm. ushauri wangu andamaneni hadi magogoni kwa huyo mliyempa urais

Hatuhitaji Mdee atatue matatizo yetu mengine yako juu yake tunataka kusikia kauli yake hata akisema tatizo haliwezi pia ni busara.
 

kuripoti tukio na mahali lilipotokea haina maana naishi huko mbona hapa kuna watu wanaripoti hata matukio ya washington kwani ni lazima waishi Marekani.
 
Kosa mlofanya ubunge mmempa MDEE urais mkampa JK Iliyobomoa ni serikali yenu dhalimu ulitaka afanyeje angekuwepo siku ya tukio angeweza kupigwa risasi na hao policcm. ushauri wangu andamaneni hadi magogoni kwa huyo mliyempa urais

si kosa kumchagua Mdee pengine wakazi wa jimbo la Kawe walikuwa na Imani naye ndio maana halisi ya vyama vingi si lazima viongozi wote watoke chama kimoja.
 

Halima Mdee ndiye kakutuma kwamba tumevunja sheria???? itapendeza kama tutamsikia yeye mwenyewe.
 
Halima Mdee badilika kidogo sie wapiga kura wako tunakuhitaji katika kipindi hiki kigumu
 

hakuna jiwe hata moja Madale kama lipo kwa mtu mmoja basi alitafuta mwenyewe manispaa ambao walikuja kuvunja na kusema tumevamia kwani mawe ya hatimiliki hayatolewi na mtu binafsi isipokuwa na Manispaa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…