Si kipindi kirefu kilichopita tumeshuhudia media titles hasa katika front pages zikielezea ubaya wa utawala wa Mugabe wa Zimbabwe.
Kama utafuatilia vyombo vya habari sasa hata vya nchi za Magharibi ni very rare kusikia habari za Mugabe kwa taswira ya Giza.
Najiuliza hivi huyu Mzee kashakuwa mtu mwema kwa westeners?, hali hiyo inatupa fundisho gani nchi zetu za afrika? tafadhali wenye upeo a swala hili wanipe mawazo yao.
Kama utafuatilia vyombo vya habari sasa hata vya nchi za Magharibi ni very rare kusikia habari za Mugabe kwa taswira ya Giza.
Najiuliza hivi huyu Mzee kashakuwa mtu mwema kwa westeners?, hali hiyo inatupa fundisho gani nchi zetu za afrika? tafadhali wenye upeo a swala hili wanipe mawazo yao.