oldd vampire
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 253
- 52
hua najiuliza ni kwanini maeneo mengine ni kuna joto sana mfano DAR n mengine baridi sana kama artic kule uingereza...na nini kina sababisha utofauti huu?na ni kwanini eneo moja lina experience three weather conditions in a year?na ni kwanini kuna kipindi cha mvua?jua?na baridi?nini kina sababisha?