makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,597
Unanitafutia ban wewe 😄Usinichoshe, haya sema kispanyola 😆
Unanitafutia ban wewe 😄Usinichoshe, haya sema kispanyola 😆
What if The Icebreaker is in love with a stranger?
Sa itakuwaje ngoja nikuitie Intelligent businessman pacha wangu atusaidie 😹😹Sante Da Nikita
Ila hiyo Title tu nimetoka Kapa 😅
Thank you Sis Nikita
But I have no idea with the title 😅
Muwe mnaweka na kiswahili basi mnatuchanganya wafatiliaji tunaona mashikoro mageni 😹What is The Icebreaker is in love with a stranger?
😹😹 ungeacha tu hii kinge yako ya kuunga na glue1.Someone dreamt about you last night, and you have no idea.
Sijui kinge 😥😹😹😹It's your turn mwanakwetu, share your random and absurd thoughts 😂
Mangi uzi wa kinge mbona unakuja na kamusi la kiswahili 😹😹😹1. Walihisi kupata mapacha ni miujiza ya miungu.
2.kizazi kimoja tu za takribani karne moja tu ndio kingeweza kudumu.
3.sio kila mtu anaosha mikono akitoka kukojoa , binafsi mtu akinipa mkono namsalimia kwa kumshika juu ya kiganja.
4 .hapo kwenye kuwapa pombe wanyama siwezi kufahamu vizuri.
5. Kuhusu umilele na furaha inategemea na vile unatafsiri mambo ila ili uweze kujua furaha lazima utambue huzuni ,bila kuwepo huzuni ni ngumu kutambua furaha ipoje.
😂 😂 😂Sijui kinge 😥😹😹😹
Ila nimecheka huu uzi wallahi kwanini kuwafanyia wenzio hivyo??
kinge ya mwalimu Je?😅 Comment #3😹😹 ungeacha tu hii kinge yako ya kuunga na glue
Nimeona kuna pipo zinatype huku zinafuta jasho na bado wametoa boko 😹😹😂 😂 😂
Haa haaa, nimewafanyia nini sasa, lugha ya malkia nyepesi tu hii.
Sasa hivi najifunza kispanyola niende zangu Cuba 😂
Sijui km watu hawajajamba wakati wanatype 😹😹kinge ya mwalimu Je?😅 Comment #3
Kinge pls 😹😹Labda waliiga kwa wanyama hasa ndege ,kama walivyo iga mkao wa ki mmbwa🤣
Mangi mbona unaniangusha lakini? 😹Inawezekana, kifo cha mende , mkao wa kimbwambwa kwa nini isiwezekane kwa busu😅
Mawazo ya ajabu uliyo wahi kuyapata au kutamani kufanya.Sa itakuwaje ngoja nikuitie Intelligent businessman pacha wangu atusaidie 😹😹
😂 😂 😂Nimeona kuna pipo zinatype huku zinafuta jasho na bado wametoa boko 😹😹
Let's try to converse in English Mwanakwetu, I believe in you 😂Hii lugha bana tu naipenda ila yenyewe haitupendi..!! Infropreneur njoo unisaidie huku ras simba wangu 😹