emma_laurent
Member
- Apr 29, 2014
- 61
- 7
baada ya kuumwa jno mda mrf nmeamua kwenda kultoa daah nmeumwa leo mpk nkajionea huruma pray 4 me frnds xo az i may get wel sun,,naumwa sna
Kwani unatumiaga whitedent..?
na2mia whtedent herbal n mbaya?
Haituhusu
Haituhusu
Anatafuta faraja.."sikuombei
mabaya ila nakutahadharisha.shida haina mmoja hata we inaweza
kukuta.."-university corner..
Anatafuta faraja.."sikuombei mabaya ila nakutahadharisha.shida haina mmoja hata we inaweza kukuta.."-university corner..
Pole emma, na baada ya
kupona tafuta mwalimu akufundishe kuandika vizuri. Tabia hio ya uandishi
itaku cost si mda na utapata maumivu zaidi ya jino. Sawa mtoto
mzuri?
baada ya kuumwa jno mda mrf nmeamua kwenda kultoa daah nmeumwa leo mpk nkajionea huruma pray 4 me frnds xo az i may get wel sun,,naumwa sna
"sikuombei mabaya ila nakutahadharisha.shida haina mmoja hata we inaweza kukuta.."-university corner..
Pole mwaya. Una dawa ya
kusukutua? Kama hauna usukutue maji ya uvuguvugu yenye chumvi kabla ya
kulala na kuamka asubuhi.
pia jitahidi walau mara moja kwa mwaka uende kwa dentist kusafisha meno,
itazuia meno kuoza. Piga mswaki asubuhi na kabla ya kulala pia.
basi basi isije kuwa balaa.Au niseme kama unashindia dagaa?