Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
Kweli kabisa na hawa dada wetu wa kileo weekend inabidi umruhusu na yeye afurahie weekend yake hata hujui alienda wapi? anafanya nini?hapo sijui utakuwa unapimaje?.
Huuh! Ni wakati wa watu kuburuzwa mahakamani ili liwe funzo kwa wengine.
Utampima Ukimwi anapoanza kazi baada ya hapo utampima kila baada ya mwezi?