MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,745
- 71,610
huyu ndo anafahamia dunia nzima hadi vijijini, huyo mwingine anafahamika mitandaoni tu, hadi kugoogle
huyu ndo anafahamia dunia nzima hadi vijijini, huyo mwingine anafahamika mitandaoni tu, hadi kugoogle
Nyani Ngabu atakwambia USA baby! 🙂
hii video nimeichek ni shida
Kui...you are in trouble.
Don't ever say USA baby again without kale kabendera😀.
USA baby
tayari umeona!Nyani Ngabu atakwambia USA baby! 🙂
Dah yaani anaimba na vimwana wakaliHuyu jamaa ni wa kipekee, hakuna mwingine kama yeye.
kuna ile ya rais mstaafu akiimba ewe njiwa
Tunataka ile ya JPM akipiga ngoma. Mimi napenda sana wakuu wakijihusisha na sanaa namna hii. Ninawaona kama binadamu wenzangu.teh teh teh hebu iweke, nipate kuitazama kwa mara ya pili. Maana tangu nimeiona kwenye kundi la whatsapp, sijaipata tena.
Tunataka ile ya JPM akipiga ngoma. Mimi napenda sana wakuu wakijihusisha na sanaa namna hii. Ninawaona kama binadamu wenzangu.