KERATO MOMBAA
JF-Expert Member
- Feb 4, 2025
- 3,929
- 5,161
Na huo mstari aliosimama mzee wa southern killers, kuanzia yeye hadi mtu wa tano nyuma kuna waziri mkuu hapo yaani kasim, ridhiwan, kakurwa, simbachawene.
Huwa wanaenda kwa pesa zao binafsi au pesa za nchi za walipa kodi??Wakuu,
Hii picha imepigwa Leo Chato kwenye mazishi ya Mama mzazi wa The Late John Pombe Magufuli Bi Suzana
Hii picha upande wa Kiroho inakuonesha kabisa katika hio circle Kuna mmoja Ni YEYE
Lakini wahenga wanasema Kwenye msafara wa Mamba huwezi kumkosa Kenge
Unamuona mzee huyo ana mapenzi na chama sana kuliko wenye chama chao yani watu wapo msibani wewe unavaa chama ndo mnasema wazee wa zamani walikua na busara sana ndo kama hiviWakuu,
Hii picha imepigwa Leo Chato kwenye mazishi ya Mama mzazi wa The Late John Pombe Magufuli Bi Suzana
Hii picha upande wa Kiroho inakuonesha kabisa katika hio circle Kuna mmoja Ni YEYE
Lakini wahenga wanasema Kwenye msafara wa Mamba huwezi kumkosa Kenge
Lazima wawe deployed wengi ili kumonitor hii Layer closelyNAdhani kati ya misiba yeye mashushu wengi na huu umo.
Yaani inasikitisha sana vidume vyote hivyo vya Tanganyika vimeamua kuwa kondoo wanaosubiri machinjo?Wakuu,
Hii picha imepigwa Leo Chato kwenye mazishi ya Mama mzazi wa The Late John Pombe Magufuli Bi Suzana
Hii picha upande wa Kiroho inakuonesha kabisa katika hio circle Kuna mmoja Ni YEYE
Lakini wahenga wanasema Kwenye msafara wa Mamba huwezi kumkosa Kenge
No, hapo kuna kete moja ya msoga, na kete nyingine mbili ambazo ni casualities of war.Hapo kuna chaguo la Msoga?vinginevyo wote msafara kenge
mnajidanganya tu.Huu msiba strategically ni Venue ya Mipango mingi sana
Wapo wote wawili, wa 2030-2040 yuko safu ya mbele na wa 2040-2050! yuko safu ya nyuma!.Macho yenu yanaona Vizuri Lakini safu mbili Kati ya safu ya Mbele na safu ya nyuma basi yupo ambaye Ni yeye
Pascal Mayalla
Tazama Vizuri mkuuKwahiyo Kenge ni yupi hapo??