What a Powerful Picture

What a Powerful Picture

Bird Watcher

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2013
Posts
4,316
Reaction score
8,720
Wakuu,

Hii picha imepigwa Leo Chato kwenye mazishi ya Mama mzazi wa The Late John Pombe Magufuli Bi Suzana

Hii picha upande wa Kiroho inakuonesha kabisa katika hio circle Kuna mmoja Ni YEYE

Lakini wahenga wanasema Kwenye msafara wa Mamba huwezi kumkosa Kenge

FB_IMG_1780047139358.jpg
 
Najaribu kufikiria kama vile bi mkubwa ana bifu na marehemu Magufuli!
Kwa namna alivyo fika hapo alipo kwa mbeleko ya magufuli asingepaswa kuhudhuria msiba huu, ikizingatiwa magufuli alikua anampenda sana mama yake.

Anyway jana si leo na kesho kesho kutwa.
 
Hapo kuna masnitch kama watatu Kakurwa Nchimbi sio kuaminika na wasira
 
Wakuu,
Hii picha imepigwa Leo Chato kwenye mazishi ya Mama mzazi wa The Late John Pombe Magufuli Bi Suzana

Hii picha upande wa Kiroho inakuonesha kabisa katika hio circle Kuna mmoja ni yeye

Lakini wahenga wanasema Kwenye msafara wa Mamba huwezi kumkosa Kenge

Agenda ya taifa letu kwa mwaka 2030-2040 ni Dr Emmanuel John Nchimbi.

hakuna ubishi kwenye hilo gentleman 🐒
 
Wakuu,
Hii picha imepigwa Leo Chato kwenye mazishi ya Mama mzazi wa The Late John Pombe Magufuli Bi Suzana

Hii picha upande wa Kiroho inakuonesha kabisa katika hio circle Kuna mmoja ni yeye

Lakini wahenga wanasema Kwenye msafara wa Mamba huwezi kumkosa Kenge

SAWA.
Hapana. Siyo SAWA.
Sitaki kueleza kwa sasa.
Ila niambie tu huyo wa kwanza kulia mstari wa mbele ni nani.
 
Hapo kuna masnitch kama watatu Kakurwa Nchimbi sio kuaminika na wasira
Kakurwa, Wasira?
Huwezi kuendelea kuwa na mchanganyiko wa samaki waliooza na wazima. halafu uwawasilishe sokoni kuwauza.

Tuache maigizo na aina hii katika taifa letu.
 
Wakuu,

Hii picha imepigwa Leo Chato kwenye mazishi ya Mama mzazi wa The Late John Pombe Magufuli Bi Suzana

Hii picha upande wa Kiroho inakuonesha kabisa katika hio circle Kuna mmoja Ni YEYE

Lakini wahenga wanasema Kwenye msafara wa Mamba huwezi kumkosa Kenge

Ukishasikia "kiroho" tu, ujue famba.
 
Ukishasikia "kiroho" tu, ujue famba.
Mkuu kiranga Wewe tunajua fika mada zinazohusu Issue za Kilimani au Kiroho huwa huziamini Lakini watu Wana macho makali sana ya kuona mbali
 
Litoe li wasira zee lla hovyo hilo lisiloweza kuipambania TANGANYIKA shame kabisa!!!!
 
Back
Top Bottom