Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 21,785
- 44,657
Daah wahuni sio watu aisee wanawarudisha sana watu nyuma hapo inatakiwa waweke nondo juu sio watu waje wachukue mali kirahisi kama za kwao ila watakuja kukamatwa tu ingawaje inaweza kuwa sio leo..