tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Watu wanaosadikiwa kuwa ni wezi wameiba mali na fedha kwenye maduka matatu tofauti katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar es Salaam.
Soma pia: Kimewaka wananchi Tegeta A wamvamia mwenyekiti kisa ubovu wa barabara, wasema wamechoka
Wezi hao walifumua bati la juu na kufanikiwa kutoboa ceiling board ambapo waliiba mali kwenye maduka ya simu, nguo na duka la bidhaa za jumla za matumizi ya nyumba.
Source: Eastafricatv
Soma pia: Kimewaka wananchi Tegeta A wamvamia mwenyekiti kisa ubovu wa barabara, wasema wamechoka
Wezi hao walifumua bati la juu na kufanikiwa kutoboa ceiling board ambapo waliiba mali kwenye maduka ya simu, nguo na duka la bidhaa za jumla za matumizi ya nyumba.
Source: Eastafricatv