pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Wezi ni balaa
Hata mimi nilikuwa najaribu kuwaza lile bomba linalopitishaga vinyesi vya ndugu zetu from asia mmmhh hatariSasa bongo napo wataanzia feri pale, ila mitaro ya bongo ukiingia sidhani kama utapona
La msingi ni mtu anaweza pita au hawezi, ila kwa kipenyo hiko mtu mwembamba anaweza pita kwa kutambaa kwa mikono, tumbo na msaada wa vidole vya miguu.Ubishi wa nini? Mtu aliyetoa mada alikuwa anakariri tu source yake. Na ukweli ni kwamba 1 in = 2.54 cm. Kwa hiyo 16 in = 40.64 cm.
Na ndiyo maana wametumia mbinu hiyo ili watu aina yako msishtukie kitu hadi wamalize yao.Never say never kwenye matumizi ya akili ya binadamu.Hii chai mkuu,''mabomba yenye upana wa sentimenta 40??!''
Unazijua cm 40 kweli? unajua kwamba ile rula unayotumia shule ya msingi ina cm 30?
Hakuna mtu yeyote duniani anaeweza kupenya kwenye huo upana wa cm 40...labda uniambie kwamba umekosea, na sio cm
tatizo lenu nyote ni moja sijui mnapingana nini,inchi 16 ina tofauti gani na sm 40
Ukiachana na hao wezi kupita kwenye bomba la maji machafu kumbe wenzetu mabomba ya maji machafu na kinyesi yanapita mpaka nadani ya nyumba moja na nyingine inamaana kama nikibongo bongo unajenga mjengobwako juu chini lina pita bomba haina haja ya kuchimba semptiki nikukonnect tu nabomba ngoma inogire
Sent using Jamii Forums mobile app
mwenyewe nimecheka 1inch =2.5 hiv sm alafu hawa wanapeana moyo eti ni vitu tofautitatizo lenu nyote ni moja sijui mnapingana nini,inchi 16 ina tofauti gani na sm 40