Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
Poleni.
Bwahahahaaa badala ukae umfariji mama yako unakuja kulia hukuHellow african
Leo afrajiri saa kumi na moja simu yangu inaita kuangalia ni mama anapiga nilistuka kidogo kupokea na msikiliza na sikia sauti ya kilio analia moyo wangu ukapasuka kujaribu kuuliza vizuri anasema ameibiwa mzigo wake wote wa dukani ambao alikuwa ameuleta juzi tu dukani akili ikazidi kuchanganyikiwa
Nikakata simu kumpigia jirani ndio ananiambia kuwa wezi wamefungua duka bila kuvunja wakaiba na hawaja vunja popote pale
Kwanini watu wasifanye kazi nao wapate mali zao kukicha kuiinda mali za watu watu wanarudishana nyuma sana mtu unakosa ata huruma unaenda dukani kwa mtu unavunja ndio nini?
Nasubiria jibuHakuna mlinzi ?
Kuwa na huruma weweBwahahahaaa badala ukae umfariji mama yako unakuja kulia huku
Hopeless!
Halafu hao wezi wakifanikishaga wizi wanafurahia na kujiona wajanja na kumcheka na kumkejeli waliomuibia. Lakini arobaini zao zikifika wakichomwa moto wanavyotia huruma na kuomba msamaha.Hellow african
Leo afrajiri saa kumi na moja simu yangu inaita kuangalia ni mama anapiga nilistuka kidogo kupokea na msikiliza na sikia sauti ya kilio analia moyo wangu ukapasuka kujaribu kuuliza vizuri anasema ameibiwa mzigo wake wote wa dukani ambao alikuwa ameuleta juzi tu dukani akili ikazidi kuchanganyikiwa
Nikakata simu kumpigia jirani ndio ananiambia kuwa wezi wamefungua duka bila kuvunja wakaiba na hawaja vunja popote pale
Kwanini watu wasifanye kazi nao wapate mali zao kukicha kuiinda mali za watu watu wanarudishana nyuma sana mtu unakosa ata huruma unaenda dukani kwa mtu unavunja ndio nini?
Hakuna mlinzi ?
Pole sana kwa changamoto ila rekebisha kiswahili.
Ukisema wezi wanarudishana nyuma unakua unamaanisha wezi wamefanyiana ubaya wao kwa wao au wezi wamemuibia muizi mwenzao
Ni vyema ukaandika "wezi wanarudisha maendeleo nyuma"
Mimi kama Oni Sigala muhariri wa kiswahili dukuduku langu lilikua ni hilo tu.
Ahsante.
Halafu hao wezi wakifanikishaga wizi wanafurahia na kujiona wajanja na kumcheka na kumkejeli waliomuibia. Lakini arobaini zao zikifika wakichomwa moto wanavyotia huruma na kuomba msamaha.
'Huruma' ameshaolewa.Kuwa na huruma wewe
Poleni sana! Watu wanapenda njia za mkato, na siku zote hawaendelei kwani hata akili na maarifa ya kujitegemea hawana.Hellow african
Leo afrajiri saa kumi na moja simu yangu inaita kuangalia ni mama anapiga nilistuka kidogo kupokea na msikiliza na sikia sauti ya kilio analia moyo wangu ukapasuka kujaribu kuuliza vizuri anasema ameibiwa mzigo wake wote wa dukani ambao alikuwa ameuleta juzi tu dukani akili ikazidi kuchanganyikiwa
Nikakata simu kumpigia jirani ndio ananiambia kuwa wezi wamefungua duka bila kuvunja wakaiba na hawaja vunja popote pale
Kwanini watu wasifanye kazi nao wapate mali zao kukicha kuiinda mali za watu watu wanarudishana nyuma sana mtu unakosa ata huruma unaenda dukani kwa mtu unavunja ndio nini?