M16_kwaoz
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 247
- 474
Habari wanajamvi...
Kwamuda wa mwaka na miezi kadhaa,nimekuwa nasumbuliwa na wezi kuiba kwenye sehemu ninapofanyia shughuli zangu za uzalishaji wa kipato cha kila leo.
Ninafanya shuguhuli za bustani ya mazao ya kilimo haswa michikichi na miti(matunda) na ya kawaida..Wezi wamekuwa wakiniibia mbegu kila wanavyojisikia kufanya hivo na nimejitahidi kufanya mbinu kadhaa ikiwemo kuripoti polisi bila mafanikio,kuweka waganga kadhaa napo sijafanikiwa maana dawa zao hazijafanya kazi,kuweka walinzi wa kampuni na wamasai napo hakujaleta mafanikio yoyote.
Tafadhali,kwa yoyote anayeweza kunisaidia mbinu mbadala nitashukuru sana. Imefikia hatua nashindwa kuendeleza shughuli hii kwani kila ninapopata mbegu hizo,wezi wanaziiba wanavyojiskia.
Natanguliza shukrani.
Kwamuda wa mwaka na miezi kadhaa,nimekuwa nasumbuliwa na wezi kuiba kwenye sehemu ninapofanyia shughuli zangu za uzalishaji wa kipato cha kila leo.
Ninafanya shuguhuli za bustani ya mazao ya kilimo haswa michikichi na miti(matunda) na ya kawaida..Wezi wamekuwa wakiniibia mbegu kila wanavyojisikia kufanya hivo na nimejitahidi kufanya mbinu kadhaa ikiwemo kuripoti polisi bila mafanikio,kuweka waganga kadhaa napo sijafanikiwa maana dawa zao hazijafanya kazi,kuweka walinzi wa kampuni na wamasai napo hakujaleta mafanikio yoyote.
Tafadhali,kwa yoyote anayeweza kunisaidia mbinu mbadala nitashukuru sana. Imefikia hatua nashindwa kuendeleza shughuli hii kwani kila ninapopata mbegu hizo,wezi wanaziiba wanavyojiskia.
Natanguliza shukrani.