Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,161
- 10,879
Kundi la wezi likiwa na vifaa vizito nchini India wameliiba daraja la chuma lenye uzito wa tani 550.Tukio hili limefanyika kwenye mto wa Ara Sone jimbo la Bihar .
Wezi hao walifanikisha wizi huo kwa muda wa siku tatu wakianza shughuli zao kuanzia saa moja na nusu kila siku huku wakiwa wamevaa sare za wafanyakazi wa Serikali.
Vifaa vilivyotumika kuiba daraja hilo ni pamoja na tinga tinga aina ya jcb lililochimbua nguzo na tochi za kukatika vyuma
Kabla ya wizi
Wezi hao walifanikisha wizi huo kwa muda wa siku tatu wakianza shughuli zao kuanzia saa moja na nusu kila siku huku wakiwa wamevaa sare za wafanyakazi wa Serikali.
Vifaa vilivyotumika kuiba daraja hilo ni pamoja na tinga tinga aina ya jcb lililochimbua nguzo na tochi za kukatika vyuma