Walokole wa kisumuma😅😅Muendelezo tutalipia😆
walokole wa kisukuma tunaonewa sana!
Si kaandika "rasmi, alikuwa binti mrembo wa kisukuma, anavaa nguo za kujistiri sana, Yani Kwa kifupi alionekana ni binti ambaye kalelewa katika maadili ya kikristo hata katika uongeaji wake, Kila jumapili anakuambia anaenda kanisani, ijumaa kwenye maombi”Walokole wa kisumuma😅😅
Mweee😂😂💔💔
Ulikuwa sahihi mkuu😁kaumbuliwa hapo juu🤭Kaitoa Facebook na yeye anasubiri muendelezo!
Sasa hapo kinasikitisha nini?Inasikitisha sana
Ni chai hii.. Nimeinunulia mikate na blueband naona inaflow goodah man.Anko sio chai kweli hii í ½í¸í ½í¸í ½í¸
Ache tujipoze kabla NRNE 2910Anko sio chai kweli hii 😃😃😃
Safi sana binti wa kisukuma mlokole!! Kuwapata walokole inabidi uwe mlokole kwanza😅😅Si kaandika "rasmi, alikuwa binti mrembo wa kisukuma, anavaa nguo za kujistiri sana, Yani Kwa kifupi alionekana ni binti ambaye kalelewa katika maadili ya kikristo hata katika uongeaji wake, Kila jumapili anakuambia anaenda kanisani, ijumaa kwenye maombi”
Hizi zote sifa zangu ujuee😅
Nmeamua kusikitikaSasa hapo kinasikitisha nini?
Nimecheka kama mwehu aisee.. Inauma saanq.Nmeamua kusikitika