Wewe ungefanyaje!?

Wewe ungefanyaje!?

Mkeo anahitaji huduma ya kidaktari kuweza kuondokana na psychological effects za aliyotendewa.

Pili, kama huyo mjomba anaishi nanyi nadhani ni wakati wa yeye kufungasha na kwenda kwake. Besides, alijshajilipa in advance.

Pole sana mkuu!
mzee wa popo umekuja?
 
Umetaka kujua, umeambiwa kwa hiyo kua mpole mkuu maisha yaendelee
 
Mkeo anahitaji huduma ya kidaktari kuweza kuondokana na psychological effects za aliyotendewa.

Pili, kama huyo mjomba anaishi nanyi nadhani ni wakati wa yeye kufungasha na kwenda kwake. Besides, alijshajilipa in advance.

Pole sana mkuu!
Kwa kweli Mke anamaumivu ambayo anahitaji kusaidiwa na ndio maana kasema na dawa kubwa ni kumuondoa uncle hapo nyumbani.
 
Kwa kweli Mke anamaumivu ambayo anahitaji kusaidiwa na ndio maana kasema na dawa kubwa ni kumuondoa uncle hapo nyumbani.
Uncle anaishi mbali nasi miaka yote.
Nitajitahidi kadri niwezavyo kumsaidia ili kuisaidia familia hii tulioitengeneza.
 
Ni ngumu sana kwa mkeo kwa kweli, kwanza muelewe muonyeshe upendo wa ziada aloukosa hapo zamani.

Suala la mjomba kwa kweli ni ngumu kumdharau bado atabaki kuwa mjomba tuu, mpeni nafasi anayolilia na mkeo amsamehe ili awe na amani ya moyo wake, adhabu hutoa Mungu pekee ndo ninavyoamini mimi

Nimekuelewa mkuu hasa kipengele cha kumuachia Mungu.
Huwa nawaza labda huyo mjomba alikuwa na mambo ya kiganga maana ugumu niuonao kwa mtu kumfanyia hivyo mtoto wa dada yake ni sawa na kumfanyia mwanae tu.
Kibaya ni kwamba ndugu waliamini kuwa anamlea vema kumbe yeye daah.
 
aiseee veery sad

maisha mengine ni mtihani.

Mitihani ipo na wote tunapitia kila mmoja kwa namna yake ila wapo waliopitia mitihani migumu sana katika maisha baada ya kyondokewa na wazazi.Mfano ni kama huo na hapo alipoishi kwa mjomba tu....kabla ya hapo aliishi na mama mkubwa ambapo kulikuwa na baba mkubwa na baada ya kutoka wa mjomba aliishi na mama yake mdogo ambako kulikuwa na baba mdogo....ni dhulma mbaya sana ya ukatili aliyokutana nayo kwakweli.
 
Hili lipi nje ya uwezo wangu

Ni kweli inawezakuwa hivyo maana kuna mambo magumu huwapata watu hasa wa karibu yetu ila tu huwa hawasemi siku ukiyasikia unatamani ungekuwepo wakati huo ili walau uwatetee.
 
Kuna baadhi ya viumbe wana roho za kikatili tokea wazaliwe. Hizi roho zao mbaya hurithi kwenye mmoja wa mwana familia. Nakusudia huyo mkeo inakuwaje awe anakaripia watoto bila ya sababu?[emoji15] Watoto wake mwenyewe anawalea kama wapo gerezani na yeye kujifanya nyapala. Watoto wake huwatolea ukali hivyo jee aletwe mtoto alelewe hapo itakuwaje??[emoji15] na Kuhusu huyo mjomba wake kumbaka unahitaji kumkabili huyo mjomba wake na umuulize kama kweli kafanya au mkeo anamsingizia tu. Haya mambo mengine ni fitna tu na njia ya kujifanya victim wakati yeye ndio suspect mkubwa.


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Nimekuelewa mkuu hasa kipengele cha kumuachia Mungu.
Huwa nawaza labda huyo mjomba alikuwa na mambo ya kiganga maana ugumu niuonao kwa mtu kumfanyia hivyo mtoto wa dada yake ni sawa na kumfanyia mwanae tu.
Kibaya ni kwamba ndugu waliamini kuwa anamlea vema kumbe yeye daah.
Ni kumuachia Mungu tuu mkuu, huwezi jua sababu iliyopelekea hali hiyo kutokea
 
Ndo wale akipata mchumba mjomba anakataa mpwaye asiolewe bora wewe ulikubaliwa.
 
Afungue kesi. Jinai haifi. Hiyo inaweza kunusuru wengine!!! Mjomba Mungu anakuona ujuee!!!
 
Back
Top Bottom