unapodanganya,hakikisha haitajulikana milele,huyo wife atafuatilia atakuta hata dhamana ulishamuwekea bi mdogo,hapa wewe uchune tu kaa kimya
huna haja ya kucoment chochote;
1.ukikubali kosa......umempa nafasi nae akamegwe
2.ukiendelea kukataa..........ushahidi upo na unazidi kumpandisha hasira bibie.
mimi ningenyamaza tu na kuwa mpole isivyokawaida,atasemaaaaaaaaaaaaaaaa akitulianitamjibu;
'' wewe umeshaamua kunidhalilisha na kuniona malaya na mkosefu basi endelea''
unajua kwa kila wawili wapendanao yupo mjanja na mwingine ndio hivyo tena nasita kumwita mjinga. Hapa huyu jamaa ni mji...tu.
unapaswa uwe mwangalifu.unaacha risiti kwenye shati? ni uzembe wa hali ya juu kabisa.Kama huwezi kuwa mwangalifu ya nini kutongozatongoza?