Kiukweli nimemaindi yani sijui kule Ikulu kuna nini aisee mpaka mtu kufikia kiwango hiki cha tamaa.
Halafu eti anataka kutusahaulisha kwa kufanya muafaka wa kitaifa eti awaite baadhi ya wazee (akiwemo na yule snitch wa Taifa) eti kuponya majeraha.
Mkunda ni mtu wa ajabu sana, mi tangu mda niliweka doubt kwake kuwa huyu ni sehemu ya wahujumu nchi.