Bei rahisi Electronicks
Senior Member
- Nov 24, 2025
- 167
- 392
Wakuu inakuwaje, Ratiba zenu zipoje.
Mimi ya kwangu inaendana na kazi yangu, asubuhi tunaingia mazoezini baada ya hapo kumwagilia bustani pamoja na kulisha kuku.
Nikitoka hapo najiandaa kuingia kazini jioni tena kulingana na kazi yangu naingia mazoezini.
Baada ya hapo Kuna kazi online mpka saa 4, baada ya hapo huwa nalala huwa nachoka sana. Kuamka saa 11:00 nafanya ibada then ratiba inaendelea.
Wewe ratiba yako ipoje?
Mimi ya kwangu inaendana na kazi yangu, asubuhi tunaingia mazoezini baada ya hapo kumwagilia bustani pamoja na kulisha kuku.
Nikitoka hapo najiandaa kuingia kazini jioni tena kulingana na kazi yangu naingia mazoezini.
Baada ya hapo Kuna kazi online mpka saa 4, baada ya hapo huwa nalala huwa nachoka sana. Kuamka saa 11:00 nafanya ibada then ratiba inaendelea.
Wewe ratiba yako ipoje?