Wakuu inakuwaje, Ratiba zenu zipoje.
Mimi ya kwangu inaendana na kazi yangu, asubuhi tunaingia mazoezini baada ya hapo kumwagilia bustani pamoja na kulisha kuku.
Nikitoka hapo najiandaa kuingia kazini jioni tena kulingana na kazi yangu naingia mazoezini.
Baada ya hapo Kuna kazi online mpka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.