mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 7,424
- 10,024
Duuuh we Mzee mchawi?Tarehe 7/09/2017 ukiwa African Dreams Dodoma chumba namba 302 uliagiza vijana 4.....😜
Ulijuaje
Duuuh we Mzee mchawi?Tarehe 7/09/2017 ukiwa African Dreams Dodoma chumba namba 302 uliagiza vijana 4.....😜
Episode ya V imeachiwa na britanicca hadi ikachana mbeleko....😜Duuuh we Mzee mchawi?
Ulijuaje
Naomba link nikasomeEpisode ya V imeachiwa na britanicca hadi ikachana mbeleko....😜
Unapenda kulala kwa ke, litajakukuta jamboCha ajabu leo tena hii ishu imejirudia. Mdada ananiita niende kwake nikamsaidie kuweka sawa Website yake. Namwabia usiku saivi ngoja kesho, anasema njoo utalala kwangu. Nikamwambia mi siwezi kulala kwenye kochi. eti wewe njoo tutalala wote kitandani ila sitaki swala la mapenzi. Ikabidi nicheke tu😁😁😁
Walifuta wakati wajubaz walisha ivuta...teh...🤣Naomba link nikasome
Wanene walisha iwahi mazeeNaomba link nikasome