Koschei
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 451
- 749
Unajua kipindi cha nyuma kabisa nilipokuwa bado nipo school kuna day dada mmoja alinikaribisha geto kwake tukajisomee, sasa katika kujisomea nilijikuta nimejisahau mpaka usiku ukaingia nikashindwa kwenda home ikabidi ni lale kwa kochi yeye alale kitandani.
Baada ya muda akaniamsha akidai ananionea huruma nitang'atwa na mbu nipande tu kitandani tulale wote ila nisimguse nikasema sawa. Kupanda kitandani akaniambia nimuhakikishie kuwa sitamgusa nikasema sawa.
Baada ya muda kidogo akanifunika shuka alilokuwa kajifunika yeye hivyo tukawa kwenyeshuka moja na yeye akiwa uchi kama alivyozaliwa na alikuwa akisisitiza nisimguse nikasema sawa.
Mara baada ya muda akanishtua tena na kusema, fulani haki usiniguse mimi naogopa. Eti kama Ungekuwa wewe ndiyo mimi ungefanyaje?😁
Baada ya muda akaniamsha akidai ananionea huruma nitang'atwa na mbu nipande tu kitandani tulale wote ila nisimguse nikasema sawa. Kupanda kitandani akaniambia nimuhakikishie kuwa sitamgusa nikasema sawa.
Baada ya muda kidogo akanifunika shuka alilokuwa kajifunika yeye hivyo tukawa kwenyeshuka moja na yeye akiwa uchi kama alivyozaliwa na alikuwa akisisitiza nisimguse nikasema sawa.
Mara baada ya muda akanishtua tena na kusema, fulani haki usiniguse mimi naogopa. Eti kama Ungekuwa wewe ndiyo mimi ungefanyaje?😁