Wewe ni nani?

Wewe ni nani?

haujaulizwa unafanya kazi gani mkuu

We hujui kiswahili kabisaaa, halafu huku niliko nimekutana na nyinyi wanyarwanda wengi mnaojifanya mnaijua lugha hii kuliko sisi waswahili.
Ngoja nikueleweshe hapa, mimi ni dereva wa lori. Kazi ninayofanya ni kuendesha lori, hupo hapo?
 
We hujui kiswahili kabisaaa, halafu huku niliko nimekutana na nyinyi wanyarwanda wengi mnaojifanya mnaijua lugha hii kuliko sisi waswahili.
Ngoja nikueleweshe hapa, mimi ni dereva wa lori. Kazi ninayofanya ni kuendesha lori, hupo hapo?

duh kiswahili siyo kigumu kiasi hicho mkuu acha nimtafute shehe Sudi
 
ulikimbia baada ya kuliangusha lile lori la mafuta juzi bro...duuh ndo maana uko huko umefukuzwa kazi na unatafutwa na manjangu wa keko

Niko mbali sana na Keko aisee, sijawahi kupita mitaa ta keko miaka sasa ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom