TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,721
- 10,220
Kuanzia nimebalehe, kila msichana nikimuuliza mimi ni bwana wako wa ngapi, utasikia we ni bwana wangu wa pili... akizidi sana utasikia wa nne.
je mimi nina bahati gani ya kuwa napata wanawake ambao hawajatumika sana?
Acheni wizi wanawake
ukitaka raha ya mapenzi usitake kuuliza maswali mengi kazi yako moja tu, sex sex sex, may be na future hapo mtaenjoy sana ila ukitaka kuumia na kudanganya uliza mambo ya nyuma (yaliyopita).
Kuanzia nimebalehe, kila msichana nikimuuliza mimi ni bwana wako wa ngapi, utasikia we ni bwana wangu wa pili... akizidi sana utasikia wa nne.
je mimi nina bahati gani ya kuwa napata wanawake ambao hawajatumika sana?
Acheni wizi wanawake
unajua maswali mengine huwa ni magumu sana na LAZIMA UDANGANYWE TUU!
the difference is the same - **** usinyaa na kutanuka! Hata kama ungekuwa wa 500!
Una bahati ,wewe wanakuambia hivyo mi kuna mmoja nilimuuliza akaniambia kama sikosei utakuwa wa 168 ila sina kumbukumbu vizuri, nikachoka.......
Kuanzia nimebalehe, kila msichana nikimuuliza mimi ni bwana wako wa ngapi, utasikia we ni bwana wangu wa pili... akizidi sana utasikia wa nne.
je mimi nina bahati gani ya kuwa napata wanawake ambao hawajatumika sana?
Acheni wizi wanawake
Kuanzia nimebalehe, kila msichana nikimuuliza mimi ni bwana wako wa ngapi, utasikia we ni bwana wangu wa pili... akizidi sana utasikia wa nne.
je mimi nina bahati gani ya kuwa napata wanawake ambao hawajatumika sana?
Acheni wizi wanawake