Kesho saa nne nitakuwa nimeingia makao makuu ya nchi-Dodoma kwa shughuli zangu za kikazi,jioni ningependa nikutane na msichana yeyote wa jf aliyepo dodoma,niweze kubadilishana mawazo na awe mwenyeji wangu kwa muda wa wiki mbili nitakazokaa huko.walio interested tu,wani pm
nna shosti wangu Evelyn Salt wote tuna mivuto hatari. tuje pamoja au unataka mmoja?
ah ah wote tu,u know suala la mvuto ni kuwa mwanaume ukiwa smart na itapendeza zaidi mwanamke akiwa smart!! thats why nimelisisitiza !!
hata sie tunapenda wanaume smart, basi ukifika utatuambia. usisahau kutuletea zawadi eeeh.[/mtapata!!!!
Mivuto hapa ndo kwao lol....nna shosti wangu Evelyn Salt wote tuna mivuto hatari. tuje pamoja au unataka mmoja?
Watu kuitwa watu si hayawani, kuna sababu!
Mivuto hapa ndo kwao lol....
huyu ni nani kwani? pedeshee au kauza zabibu zake tu akaona aje kula bata mjini!!!!??
Ulizia basi tuchangamkie fursa, tukaswimm African dreaminawezekana akawa waziri flanii hivi, ngoja aje tuone, ila hata hela za zabibu zinalika tu. au sio?>
hujapatikana hewani hadi mgeni kakosa kuona mivuto. hebu soma updates hapo chini. tujitahidi tumuone kabla hajaondoka. afrcn dream lazma ituhuu.Ulizia basi tuchangamkie fursa, tukaswimm African dream