Kwenye pitapita zangu JF nikakutana na Uzi unaosema "kipi kilisababisha uachane na mwenza wako wa maisha".
Aisee! Ukiusoma ule uzi utagundua kuwa watu wanao oa/kuolewa ni Option tu na sio kwamba wanapendwa sana kuliko Maex.
Chengine nilichogundua ni kwamba, watu mpo na wake/waume za watu ndio maana matukio ya usaliti ni mengi sana kwenye ndoa za sasa.
Ushauri
KAMA KUNA UWEZEKANO OA/OLEWA NA BIKRA.
-MUUMBA HAKUKOSEA KUSEMA MSIIKARIBIE ZINAA, MADHARA YAKE NADHANI TUNAYAONA KWA KUKAIDI AGIZO LAKE.
Aisee! Ukiusoma ule uzi utagundua kuwa watu wanao oa/kuolewa ni Option tu na sio kwamba wanapendwa sana kuliko Maex.
Chengine nilichogundua ni kwamba, watu mpo na wake/waume za watu ndio maana matukio ya usaliti ni mengi sana kwenye ndoa za sasa.
Ushauri
KAMA KUNA UWEZEKANO OA/OLEWA NA BIKRA.
-MUUMBA HAKUKOSEA KUSEMA MSIIKARIBIE ZINAA, MADHARA YAKE NADHANI TUNAYAONA KWA KUKAIDI AGIZO LAKE.