Wewe najua unamuogopa Yeye Anamla.

Wewe najua unamuogopa Yeye Anamla.

NAPITA

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
5,077
Reaction score
2,248
w.jpg
w.jpg
 
du!!umenikumbusha mbali sana...hivi hawa walimu walikuwa wanasahau kuita hadi inapita siku!...nipo, ...jana na leo!!

walikuwa watolo au siku mshahara ukitoka awaji siku nzima wakija ndo unasikia nikikuita jina itika jana na leo kama ulikuepo ha!ha!
 
walikuwa watolo au siku mshahara ukitoka awaji siku nzima wakija ndo unasikia nikikuita jina itika jana na leo kama ulikuepo ha!ha!
namkumbuka mwalimu mmoja yeye alikuwa analimbikiza basi akija utasiki NAPITA...zote!du ilikuwa ina sound vizuri sana kwa kisukuma utasikia NAPITA...sote
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom