Asante umenitia nguvu.Sio kwel mm Jamaa znagu ni walevi ni Malaya balaa, tena kwa kununua malaya ndio wanaongoza .
Umalaya ni tabia ya mtu
Hatutakubali uongo wowote usambae bila kuuzuia kwa nguvu zote.Uzi waliandikiwa wanawake ila wanaume mmejaa kuushambulia
naam🤝Hatutakubali uongo wowote usambae bila kuuzuia kwa nguvu zote.