Habari zenu wakuu.
Kwenye maisha ni vyema tukakubaliana kuwa sio kila binadamu ana moyo wa kukubali kuwa a second Option.
Kwa Dunia ya leo Wanawake wengi wanaolewa na watu ambao hawakupanga wawe nao kwenye ndoa, unakuta Mwanamke alishawahi ku-do/Mahusiano na wanaume zaidi ya 5, unafikiri wewe Mwanaume unaemuoa utakuwa na moyo wake?
Kwa Dunia ya sasa kama unaoa basi usimpende huyo unaemuoa na usiwe na Wivu juu yake.
Kwenye maisha ni vyema tukakubaliana kuwa sio kila binadamu ana moyo wa kukubali kuwa a second Option.
Kwa Dunia ya leo Wanawake wengi wanaolewa na watu ambao hawakupanga wawe nao kwenye ndoa, unakuta Mwanamke alishawahi ku-do/Mahusiano na wanaume zaidi ya 5, unafikiri wewe Mwanaume unaemuoa utakuwa na moyo wake?
Kwa Dunia ya sasa kama unaoa basi usimpende huyo unaemuoa na usiwe na Wivu juu yake.