Wewe mwana JF una taaluma gani?


Hapo sawa umeeleweka BSc,MBA UDSM
 

ok!hapa sasa umeeleweka,kumbe ule ulikuwa mkurupuko..
Mimi nina taaluma ya UGEMA
 
Shahada ya ualimu Bed science specialization in Mathematics. Pia ninastashahada ya ualimu katika Dini.
 

Mweee!
 
Shahada ya mapishi...I looooooove cooking
 
B com (Accounting), (MBA finance ila nimeigandisha ingawa imenipa kazi nyingi); natamani ACCA, na pia nataka kubobea katika theology
 
the....tehe....twehe.....
majibu yenu yameondoa makunyanzi na hasira za wiki nzima yamenipa furha hasubuhi hii na kuondoa gas tumboni iliyotokana na kuvimbiwa wachemsho ya supu
 
unaonekana umekuja mjini sijui na mbio za mwenge au uliparamia gogo na kushindwa kuliachia mpaka kufika Pugu

Ukizaliwa mjini tayari umemaliza form 6, ukikulia mjini wewe una Bsc sasa njoo wewe wa kijijini na vyeti vyako usome vipi watu wanaishi hapa mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…