Erotica
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,513
- 1,735
- Thread starter
- #41
Jamani kama mwenyewe nimeenjoy si inatosha kujisifia! Kwani tunamake love ili iweje?
Na ukisifiwa na wote, halafu mwenyewe huoni utamu wake je?
kwa mwanamke hadi ukaona utamu una haki ya kujisifia. ila wanaume anaweza aone
utamu hata mara kumi na wala wewe dada usisikilizie hata mara moja. hapo ana haki kweli ya kujisifia?