Je mzee ana Sukari? Ninachoona hapa ni kuwa mama alikuwa anachepuka sana, pengine kwa muda mrefu, sasa kwa ugonjwa wa mzee anaona hashibi kabisa chakula cha ndoa, hivyo karudi kwa dada zake akashibishwe Tanga huko. Uwezekano ni mkubwa dada zake wana mjua mwanaume na huyo bwana yuko Tanga.